Inawezekana kabisa hata Mwaipopo ambaye ni kwao hajawahi kufika, lakini mimi mgeni nimepatembelea. Namaanisha kwenye kivutio kimoja wapo cha utalii kati ya vingi ambavyto viko Mbeya. Hicho ni Kimondo ambacho kinapatikana wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, ambacho naamini wenhi wetu tulijifunza wakati tuko mashuleni.
June 23, 2006


June 28, 2006 at 11:55 am
kaka shavu hilo duh!!!!!!!!!!!!!!! mbona hujawaambia wasomaji wako na kuwatambulisha hao ulioongozana nao katika safari hiyo ambayo ni sawa na kwenda kuitembelea Ikulu????????
July 11, 2006 at 4:54 pm
Kwani umekosea? hapana hata kidogo. Hicho kimondo huwaga nakisikiaga tu. Kimondo tisa kiko mbali, kumi hata Msangi mdogo anayeishi hapa hapa manispaa (jiji) nilipo sijamtembelea tukanywa kahawa na kubadilishana fikra.