Mpika-Kula, mwenye maskani yake katika kitongoji cha Chanji ndani ya Manispaa ya Sumbawanga, akiwa anatafakari ndoto za kuwa miongoni mwa Watanzania wanaotarajiwa kushirikishwa katika Mpango wa Maisha Bora kwa Kila Mtanzania

Maskani ya Wapika-Kula wengine ambao pia wanawazia Maisha Bora kwa Kila Mtanzania kama yalivyoahidiwa kwao na Sirikali yao ya awamu ya nne, chini ya mheshimiwa saaaaaaaana JMK