Ingawa kwakweli bado kuna matatizo makubwa sana katika kuweka mchakato utakaowawezesha kufaidika na kazi zao, lakini kwa ujumla wanajitahidi kwa kiasi cha kutosha. Kwa ulimwengu wa sasa ambapo bisahara ni ya utandawazi, kuwa na WEBU kwa ajili ya kutangaza shughuli mbalimbali za wasanii wa Tanzania ni jambo la muhimu sana na ndio maana napenda kuwapongeza kwa kasi hii.
Kwa wale wasomaji wangu, zifuatazo ni baadhi tu ya Webu ambazo unaweza kuzipitia na ukakutana na kazi, shughuli, taarifa na maendeleo ya muziki wa Kizazi kipya hapa Tanzania au Bongo Flava, kama wanavyouita wenyewe:
Bongoflava (Hii ni kama kiongozi maana ina viunganishi mbalimbali pia kwa ajili ya kufahamu mambo zaidi ikiwa ni pamoja na habari, picha, na kadhalila), Kwetu Entertainment, Tanzaniahiphopsummit, Africanhiphop, na kwa taarifa zaidi kuhusu muziki huo unaweza kukong’oli HAPA.
Kwa wale wasomaji wangu, zifuatazo ni baadhi tu ya Webu ambazo unaweza kuzipitia na ukakutana na kazi, shughuli, taarifa na maendeleo ya muziki wa Kizazi kipya hapa Tanzania au Bongo Flava, kama wanavyouita wenyewe:
Bongoflava (Hii ni kama kiongozi maana ina viunganishi mbalimbali pia kwa ajili ya kufahamu mambo zaidi ikiwa ni pamoja na habari, picha, na kadhalila), Kwetu Entertainment, Tanzaniahiphopsummit, Africanhiphop, na kwa taarifa zaidi kuhusu muziki huo unaweza kukong’oli HAPA.
Hallaaaa wasanii wa Bongo Flava!!