Naam, Hii ndio Ari Mpya, Nguvu mpya na Kasi Mpya!, Haishangazi maana ukweli ni kuwa hatukuwahi kuelezwa kuwa ari hiyo, kasi hiyo na nguvu hiyo ni ya uelekeo gani na ndio maana kuna wakati nilihoji hilo ati.
Wakati CCM, ikiwa inatamba kila kona kuwa imempata mgombea ambaye ni kiboko na ‘Kiziba Mdomo’ cha wapinzani pia, imenishangaza sana kusikia kuwa jamaa huyu kipenzi cha watu ameutolea nje mdahalo uliokuwa umeandaliwa na kituo cha Televisheni cha Channel Ten.
Akiwa tayari ameshatuahidi kuwa ataendeleza yale yote mema yaliyoanzishwa na serikali ya awamu ya tatu ambayo kauli mbiu yake ilikuwa Uwazi na Ukweli, hakika jambo la kwanza kabisa ambalo tulilitarajia wengi wetu ni kuona anakuwa wazi zaidi ya aliyemtangulia, lakini hali imekuwa kinyume. Hali hii iwe ni kutokana na shinikizo la chama au kutoka kwake mwenyewe kwakweli haiwezi kupita hivi hivi kwasababu inazusha maswali mengi kichwani mwetu.
Je, Ni mangapi ambayo mhishimiwa huyu ataamua kuyatolea nje pindi akikanyaga pale kwenye lile jumba jeupe, na je hizi ni dalili za nini au kiashiria cha jambo gani kwetu Wadanganyika??
Naam, Mwendo mdundo, Ari Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mupyaaaaaaaaaaa!!!
August 27, 2005 at 1:11 pm
Don’t Look Back.
Everyone has failures or mistakes from the past. To have success, you need to learn from your past and value those difficult lessons but do not every dwell on the past. Simply move forward and make better, more educated decisions from the lessons learned.
For more information about earn extra money ,
go to earn extra money . It pretty much covers
earn extra money related stuff.
October 20, 2005 at 3:05 pm
Last week I told you about Google Site Targeting -
putting your AdWords ads on specific websites
instead of targeting by keyword, and how this
slices the world in a completely different way.
Now you can pay to have your ad shown, rather
than paying per click, and you can more easily
advertise products that people wouldn’t necessarily
think to search for.
Google started out selling this space for $2.00
per thousand impressions (“CPM”). Then they
dropped it to $1.00.
On Monday they just dropped it again, to 25 cents.
(Now we’re talking!)
This now puts those clicks in the ~5 cent neighborhood,
and in some cases less. It’s a fun thing to play with.
But before you do, though, make sure you:
-Set a low daily budget so you don’t make a big mistake
-Track conversion rates (Very important! Without
sales conversion, nothing else matters.)
-Delete sites with horrible Click Thru Rates – Hey, if
you’re not getting any clicks, you shouldn’t be paying
them for the impressions.
Want to increase the clicks on your adsense ads? Of course you do. This means more money in your pocket.
For FREE Information. That will for sure make you more money by the end of the week.