<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:georss="http://www.georss.org/georss" xmlns:geo="http://www.w3.org/2003/01/geo/wgs84_pos#" xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: Uigizaji wa Wabunge wetu na hatma ya Bunge lenyewe</title>
	<atom:link href="http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/</link>
	<description>kijiweni kwa msangimdogo</description>
	<lastBuildDate>Sat, 28 Nov 2009 15:36:12 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.com/</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>By: Anonymous</title>
		<link>http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-79</link>
		<dc:creator>Anonymous</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 27 Aug 2005 13:01:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-79</guid>
		<description>Hakika nimefurahishwa sana na ndugu zangu hawa wawili Idya Nkya na Hussein Bakari na ningependa nami niwachangie yafuatayo:

@ Idya: 
Huwa ni vigumu kuelewa kuwa kuna kazi gani katika kuielimisha jamii ikajua kuwa ndio inayohusika na inayoguswa moja kwa moja ukizungumzia serikali, Tuna utamaduni wa kuwa serikali ni dude fulani hivi ambalo likishakuwepo basi, hakuna wa kulinyooshea mkono, Kazi ipo jamani

@ Hussein:
Ndugu yangu, hivi unadhani uwezo unaopewa wa kuwachagua hao watu na kuwaweka hapo unaishia baada ya kuwachagua tu? Hivi ulishajaribu kuona kuwa unawawajibisha halafu ikashindikana?, Huu ndio wakati wa kubadilika, hata kama walikuwa hawataki kubadilika basi tunatakiwa, sisi sote tuwabadilishe sasa</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hakika nimefurahishwa sana na ndugu zangu hawa wawili Idya Nkya na Hussein Bakari na ningependa nami niwachangie yafuatayo:</p>
<p>@ Idya:<br />
Huwa ni vigumu kuelewa kuwa kuna kazi gani katika kuielimisha jamii ikajua kuwa ndio inayohusika na inayoguswa moja kwa moja ukizungumzia serikali, Tuna utamaduni wa kuwa serikali ni dude fulani hivi ambalo likishakuwepo basi, hakuna wa kulinyooshea mkono, Kazi ipo jamani</p>
<p>@ Hussein:<br />
Ndugu yangu, hivi unadhani uwezo unaopewa wa kuwachagua hao watu na kuwaweka hapo unaishia baada ya kuwachagua tu? Hivi ulishajaribu kuona kuwa unawawajibisha halafu ikashindikana?, Huu ndio wakati wa kubadilika, hata kama walikuwa hawataki kubadilika basi tunatakiwa, sisi sote tuwabadilishe sasa</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Idya Nkya</title>
		<link>http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-78</link>
		<dc:creator>Idya Nkya</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 25 Aug 2005 11:45:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-78</guid>
		<description>Wa kuwawajibisha ni wapiga kura. Kwa hiyo wapiga kura inabidi wajue wajibu wao. Mpiga kura ni mimi na wewe. Tunatakiwa tuwaelimishe wapiga kura wengine pia. Kama mbunge ataonekana kutowatumikia waliompigia kura kama wanavyodai ndio kazi yao basi tuwaondoe kwa staili ya kuwafukuza na kuwakataa ikifanyika hivyo sheria zitarekebishika tuu</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Wa kuwawajibisha ni wapiga kura. Kwa hiyo wapiga kura inabidi wajue wajibu wao. Mpiga kura ni mimi na wewe. Tunatakiwa tuwaelimishe wapiga kura wengine pia. Kama mbunge ataonekana kutowatumikia waliompigia kura kama wanavyodai ndio kazi yao basi tuwaondoe kwa staili ya kuwafukuza na kuwakataa ikifanyika hivyo sheria zitarekebishika tuu</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Egidio</title>
		<link>http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-77</link>
		<dc:creator>Egidio</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 24 Aug 2005 14:22:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-77</guid>
		<description>Kaka wewe tayarisha tumbo lako kwa pilau.Hawa watu mimi nimewachoka yaani midomo yao ina maneno matamu kama kasuku ukishawachagua enhe! wanakuja mijini kueneza magonjwa</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kaka wewe tayarisha tumbo lako kwa pilau.Hawa watu mimi nimewachoka yaani midomo yao ina maneno matamu kama kasuku ukishawachagua enhe! wanakuja mijini kueneza magonjwa</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Anonymous</title>
		<link>http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-76</link>
		<dc:creator>Anonymous</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 24 Aug 2005 13:18:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-76</guid>
		<description>Kurejesha utukufu uliokuwepo wa Bunge letu, utukufu ambao aliuanzisha hayati baba wa taifa itakuwa ngumu kiasi maana karibu wote walioko sasa katika chombo hicho sio watukufu wataurejesha vipi unadhani?, Hata wachache waliobado watukufu wanashindwa nguvu na waliopoteza uelekeo, Ibilisi daima ana nguvu bwana Msangi</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kurejesha utukufu uliokuwepo wa Bunge letu, utukufu ambao aliuanzisha hayati baba wa taifa itakuwa ngumu kiasi maana karibu wote walioko sasa katika chombo hicho sio watukufu wataurejesha vipi unadhani?, Hata wachache waliobado watukufu wanashindwa nguvu na waliopoteza uelekeo, Ibilisi daima ana nguvu bwana Msangi</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Husein Bakari</title>
		<link>http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-75</link>
		<dc:creator>Husein Bakari</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 24 Aug 2005 13:15:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-75</guid>
		<description>@Idya Nkya
Wakuwawajibisha atakuwa nani ilhali wenyewe ndio wanaoweka mazingira ya kuwajibishwa au laa, sema kuwa kama wasipojali kilichowapeleka hapo, hakika ipo siku wataungana na Wadanganyika katika kilio chao. We waache tu waendelee kuchekelea hawajui sisi tukianza kucheka itakuwa kilio kwao</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>@Idya Nkya<br />
Wakuwawajibisha atakuwa nani ilhali wenyewe ndio wanaoweka mazingira ya kuwajibishwa au laa, sema kuwa kama wasipojali kilichowapeleka hapo, hakika ipo siku wataungana na Wadanganyika katika kilio chao. We waache tu waendelee kuchekelea hawajui sisi tukianza kucheka itakuwa kilio kwao</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Idya Nkya</title>
		<link>http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-74</link>
		<dc:creator>Idya Nkya</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 22 Aug 2005 19:17:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://kazana.wordpress.com/2005/08/21/uigizaji-wa-wabunge-wetu-na-hatma-ya-bunge-lenyewe/#comment-74</guid>
		<description>Kama hakutakuwa na utaratibu wa kuwawajibisha hata kabla ya kumaliza hicho kipindi cha miaka mitano basi wataendelea kuigiza maisha yao yote ya ubunge.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kama hakutakuwa na utaratibu wa kuwawajibisha hata kabla ya kumaliza hicho kipindi cha miaka mitano basi wataendelea kuigiza maisha yao yote ya ubunge.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
