Ingawa bado Chama tawala nchini Tanzania hakijatangaza rasmi kile watakachokiita ilani yao ya Uchaguzi mkuu kwa mwaka huu wa 2005, kuna jambo mojambalo limejitokeza wazi, nalo ni kuwa tayari wameshakuwa na kitu wanachokiita KAULI MBIU YAO ambayo ni Ari mpya, Nguvu mpya na Kasi mpya. Jambo moja tu ambalo bado linanitatizo hapa ni kuwa hivi hiyo kasi ni ya kuelekea wapi maana hawajatueleza kuhusu hilo?
Hivi tunajua kuwa kukimbia sio lazima kuwe ni kwa kwenda mbele, bali hata nyuma na kama ni hivyo kwanini hawa jamaa zetu wasituwekee hili wazi kuwa ni kasi ya kuelekea wapi???
August 6, 2005 at 11:32 am
Adam Curry, MTV, and the birth of podcasting
An MTV pioneer is now the pioneer of a popular new movement on the Internet called podcasting, a method that allows users to subscribe to a set of media feeds from syndicated Web site content.
If you want, check out my secret Sony PS3 News blog.
August 6, 2005 at 7:52 pm
Swali zuri, kukimbilia wapi?–>