Kulikuwa na mambo mengi sana ambayo tulijadili katika kikao chetu kilichofanyika kati ya Julai 8-10, jijini Dar es salaam. Hata hivyo jambo la msingi kabisa ambalo lilijiri ni uzinduzi wa Ajenda yetu vijana kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka 2005. Isome ajenda hiyo hapa, pamoja na baadhi ya nukuu muhimu sana ambazo zilijiri wakati wa kikao kizima. Soma nukuu za mkuu wa Chuo kikuu cha Mzumbe, Bw. Ibrahim Kaduma, ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa uzinduzi huo hapa. Pia soma nukuu za vijana wenyewe wakati wa kikao hicho hapa.