Kulikuwa na mambo mengi sana ambayo tulijadili katika kikao chetu kilichofanyika kati ya Julai 8-10, jijini Dar es salaam. Hata hivyo jambo la msingi kabisa ambalo lilijiri ni uzinduzi wa Ajenda yetu vijana kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka 2005. Isome ajenda hiyo hapa, pamoja na baadhi ya nukuu muhimu sana ambazo zilijiri wakati wa kikao kizima. Soma nukuu za mkuu wa Chuo kikuu cha Mzumbe, Bw. Ibrahim Kaduma, ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa uzinduzi huo hapa. Pia soma nukuu za vijana wenyewe wakati wa kikao hicho hapa. July 16, 2005
Kulikuwa na mambo mengi sana ambayo tulijadili katika kikao chetu kilichofanyika kati ya Julai 8-10, jijini Dar es salaam. Hata hivyo jambo la msingi kabisa ambalo lilijiri ni uzinduzi wa Ajenda yetu vijana kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka 2005. Isome ajenda hiyo hapa, pamoja na baadhi ya nukuu muhimu sana ambazo zilijiri wakati wa kikao kizima. Soma nukuu za mkuu wa Chuo kikuu cha Mzumbe, Bw. Ibrahim Kaduma, ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa uzinduzi huo hapa. Pia soma nukuu za vijana wenyewe wakati wa kikao hicho hapa.
July 16, 2005 at 1:49 pm
Tunashukuru kwa taarifa hizi muhimu sana. Endeleza mapambano.
July 16, 2005 at 7:27 pm
Thank you for leaving a comment on my blog.And if I can figure out the guestbook thing I will.
I can’t understand your blog but I love the pictures.Is that you on the right? You have a beautiful smile that says you are a kind and happy person. How do you say ” have a wonderful and fullfilling day full of joy and happiness”
Thanks
July 17, 2005 at 3:45 pm
Haya, hongera kaka, endelea kutabasamu
JN Tungaraza
July 17, 2005 at 5:40 pm
yes indeed!if thtz ur realy smile..it must be an impressive one,i much more concern about loging into the blog..cose i couldnt access myself.keep smiling budy.katoto
July 17, 2005 at 5:42 pm
frja katotoo
July 17, 2005 at 5:42 pm
frja katotoo
July 18, 2005 at 5:49 pm
@frja katotoo, all you need to do on the choose an identity option is to select OTHER then you write your name and your comments. Keep in touch
July 18, 2005 at 5:52 pm
@frja katotoo, all you need to do on the choose an identity option is to select OTHER then you write your name and your comments. Keep in touch
July 19, 2005 at 10:52 am
Mh.Mbunge hapa unaonekana ulikuwa umefurahi sana sijui ulikuwa umeahidiwa nini na wananchi katika uchaguzi ujao, au uliambiwa utashinda kwa kimbunga? kila la gheri katika kutetea jimbo lako.