Kama ulidhania kuwa hawa jamaa wanafanya kazi moja, basi ulikosea sana kwa maana wanachunga hadi vile visivyotakiwa kuchungwa kama huyu jamaa alivyofanya. Je kwa mwenendo huu tutafika kweli, au dunia ndio inaelekea tena kule kule kwenye enzi za Sodoma na Gomora??