Wapo ambao wanajitahidi kuishi kwa matumaini kama hawa, na hakika wapo ambao wanajitahidi zaidi kufanya hivyo wakiwa wanajua kuwa hakuna jinsi zaidi ya kuukubali ukweli kama huyu, na wapo wale ambao wanaonyesha mfano mzuri kwa wapenzi wao licha ya kuwa wamesha athirika kama huyu, lakini je, kwa haya yaliyomkuta jamaa huyu, kweli mapambano dhidi ya Ukimwi yatafanikiwa kweli, tena basi serikali ndio inayokuwa imeshiriki? Hakika mapambano dhidi ya UKIMWI bado yana safari ndefu sana