
Hii ni sehemu ya kilele cha Mlima ambao awali sio tu kwamba ulikuwa umefunikwa kwa theluji kwa zaidi ya asilimia 75 ya eneo lake, bali pia rasilimali muhimu sana kwa Watanzania, rasilimali ambayo ingeliweza kulifanya taifa hili kuvuna mabilioni ya Dola kupitia mlima huu.
Lakini dah!, yaliyoupata mlima huu ni makubwa mno. Sio tu kuwa Watanzania tulishindwa kabisa kuudhihirishia ulimwengu kuwa mlima huu ni wetu (uko Tanzania), bali pia tumeshindwa kuutunza hadi theluji iliyokuwa imeufunika imebakia kuwa sehemu ya masimulizi ya kale. na unajua nini, sio ajabu miaka kadhaa ijayo ukajasikia kuwa mlima huo kakabidhiwa mwekezaji ili auendeleze kwa maana sisi tumeshindwa.
Alahaula jamani
October 19, 2005 at 6:37 pm
Hey nice info you posted.
I just browsing through some blogs and came across yours!
Excellent blog, good to see someone actually uses em for quality posts.
Your site kept me on for a few minutes unlike the rest
Keep up the good work!
Thanks!.
October 26, 2005 at 4:41 am
There is alot of Blogs, I never guessed I’d find some usefull information.
Thanks.
I’ll be back later to see if anymore good updates are available.
October 30, 2005 at 9:37 pm
I am totally nude come see me. Take a bit for all pics and movies to load.
Why do I do this I like to make men blow their jiz in their pants.
Visit me.裸体