Vijana wa mitaani hapa Tanzania, au Bongo kama wanavyoliita taifa hili, huwa kuna watu ambao wanawaita Pasua Vichwa. Je, ulishawahi kujua kuwa kwanini watu hawa walipachikwa jina hili? Ukimsoma huyu, bilashaka utajua kwanini walipachikwa jina hilo.