alaa
Originally uploaded by Ramadhani Msangi.

Hivi ungekuwa umepewa kazi ya kubashiri hawa jamaa walikuwa wakiteta jambo gani hapa ikiwa ni muda mfupi tu, yaani dakika kadhaa baada ya Bw. Jakaya Mrisho Kikwete (Kushoto)kutangazwa kuwa yeye ndiye atakuwa mrithi wa Bw Benjamin William Mkapa, pale katika lile jumba jeupe (Ikulu. Hebu jaribu kunieleza kuwa walikuwa wakisema nini, japo mimi nadhani Mkapa alikuwa akimwambia mdogo wake kuwa yeye alijua tu kuwa baada ya Papa Benedicto XVI kule Vatican, kwa huku Bongo ilikuwa zamu yake kuukwaa ‘Upapaa. tehe tehe tehe!!!