kama kuna jambo la maana kabisa ambalo wataalamu wetu wa Afya katika ukanda huu wa nchi za Afrika Mashariki na Kati, wanaloweza kutusaidia kwa wakati huu, bilashaka ni kutueleza kuwa huyu Mama Kibaki ana matatizo gani ya kiakili maana kila kukicha amekuwa akizusha mapya nchini kwake, likiwemo hili
Archived Entry
- Post Date :
- May 7, 2005 at 8:40 pm
- Category :
- Uncategorized
- Do More :
- You can leave a response, or trackback from your own site.
Blog at WordPress.com. — Theme: Connections by www.vanillamist.com