Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya Chama tawala nchini Tanzania, CCM, na pengine katika historia nzima ya Tanzania, uteuzi wa mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, kwa mwaka 2005, unatarajiwa kurushwa moja kwa moja toka katika ukumbi wa Chimwaga. Soma tamko la katibu mkuu wa CCM, Bw. Philip Mangula hapa