Kashfa, matusi, kuchafuliana majina na mengineyo mengi, ni miongoni mwa mambo ambayo yametawala, wakati huu Watanzania wakiwa wanasubiri kwa hamu kumjua ni nani atakayeteuliwa kwa ajili ya kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. Miongoni mwa kashfa ambazo mmoja kati ya wagombea wa nafasi hiyo, Dk. Salim Ahmed Salim, alitupiwa ni pamoja na kuwa alihusika katika mauaji ya rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume.

Hata hivyo, kumekuwa na habari za kufurahisha kwake yeye baada ya mmoja kati ya wahusika wakuu katika kesi hiyo kumsafisha kupitia gazeti moja la kila siku nchini Tanzania. Unajua mhusika huyo kamsafisha vipi mgombea huyu? Soma hapa